JIFUNZE COMPUTER MWANZO HADI KWENYE KIWANGO CHA JUU BUREE{FREEE}

 Kompyuta ni mashine au chombo cha kielektroniki chenye uwezo wa kupokea na kukusanya taarifa (data), na halafu kuzishughulikia kulingana na kanuni za programu ya kompyuta inayopewa. Inafuata hatua za mantiki katika kazi hii. Hapo hutoa matokeo ya kazi hiyo na namna ilivyoendeshwa, pamoja na kutoa matokeo ya kitu kilichofanyika, yaani kinachoonekana (Information) kwa haraka.


AINA ZA COMPYUTA


Kuna aina kuu tatu za kompyuta, nazo ni kama ifuatavyo:-

Kompyuta Dijitali

Ni kompyuta zinazotumika kwa ajili ya kufanyia hesabu pamoja na kazi za kutumia akili.

Kompyuta Analogu

Ni kompyuta zinazotumika kwa ajili ya kupokea taarifa (Data) kama zile za kusomea hali ya hewa, kupimia mishipa ya damu na kupimia kiwango cha chumvi kwenye maji.

Kompyuta Mahuluti (Hybrid Computers)

Kompyuta hizi zinafanana na zile zilizotangulia kutajwa hapo mwanzo, nazo zinatumika kwa ajili ya kutafutia taarifa (Data) kutoka kwa binadamu moja kwa moja na kupitia mandishi na vipimo.

MFANO WA COMYUTA
Basi hapo juu tumetoka kuangalia mfano wa kompyuta twende tukaangalie sifa za compyuter


1 comment :

Designed by OddThemes | Distributed by Gooyaabi Templates